Ziara ya kikazi ya ujumbe wa wadi za Makunduchi yamalizika kwa mazungumzo kuhusu kuimarisha elimu katika skuli za Makunduchi. Afisa tawala ndugu Abdalla Ali Kombo akizungumza na bwana Tommy Junemar juu ya uwezekano wa kuleta walimu wa masomo ya sayansi kwa skuli za Makunduchi. Mazungumzo hayo yatafuatiwa na mazungumzo mengine Makunduchi kabla walimu hao kuletwa nchini.
UDAHILI WA WANAFUNZI WA TIBA KUONGEZEKA MARA TATU CHUO CHA MUHAS KUPITIA
MRADI WA HEET
-
Makamu Mkuu wa Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili ( MUHAS) Prof.
Appolinary Kamuhabwa, akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 27,2025
D...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment