BADO
wananchi wa shehia za Wawi na Mgogoni wilaya ya Chakechake, wanaendelea na kuishi
kwa wasiwasi mkubwa, wa kupata athari za moshi, kutokana na uwepo wa kiwanda
cha mafuta ya makonyo na ariki ya mimea, katikati ya makaazi yao kwa muda mrefu
sasa (picha na Haji Nassor, Pemba)
ZOEZI LA UTOAJI CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO LAANZA RASMI MKOANI MANYARA
-
-Mifugo 400 yachanjwa na kutambuliwa Mkoani Manyara.
-Wafugaji wamshukuru Dkt. Samia kwa Ruzuku ya Chanjo za Mifugo.
Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na U...
1 hour ago
Jee Kiwanda hiki Ndio kimetiliana Ubia na Wajapani? Kwasababu hapa hapa kwenye mtandao huu niliona picha na habari hizo... Na ikiwa ni hivyo jee Nembo ya Mafuta hayo ni ya Kijapani au ni ya Pemba...? Hii nikutokjana nakwamba Wajapani wana Ubia na Wamorocco katika Kiwanda cha mafuta na manukato ya mimea lakini kila wanachokiproduce kina Nembo ya Morocco.
ReplyDelete