Wananchi wa Mji wa Zanzibar wakiwa katika harakati za mahitaji ya manunuzi ya Futari katika Soko Kuu la Mwanakwerekwe Ubguja. Bei za bidhaa katika soko hilo zilikuwa juu katika siku ya leo nazi moja katika Soko la Jumla imeuzwa kwa shilingi 700/= fungu la mihogo liliuzwa katiki ya shilingi 1000/= Boga Shs 2500/= , ndizi ya Mkono mmoja iliulwa kati ya shilingi 1000/= na 2500/= kwa dole moja
Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment