MRATIBU wa TASAF Pemba Mussa Said, akiwafafanulia jambo wananachi wa shehia ya Ndagoni wilaya ya Chakechake, kabla ya wananchi hao ambao ndio maskini kugawiwa fedha taslimu shilingi 9,405,563 milioni kwa ajili ya kujiendeleza wao na watoto wao kielimu na afya (picha na Haji Nassor, Pemba)
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment