MKURUGENZI wa Idara ya Nyaraka na Makunbusho Hamad Omar
(kulia)akimfahamisha jambo Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi na Utumishi wa
Umma Mh. Haroun Ali Suleiman wakati alipotembelea katika ofisi za Nyaraka.
MWALIM Haroun
alipotembelea ofisi za Nyaraka na Makumbusho na kuangalia picha na mambo mbalimbali
yanayohifadhiwa humo
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya
Rais Kazi na Utumishi wa Umma Mh. Haroun Ali Suleiman,akiangalia Mas-hafu
Kongwe iliyoandikwa kwa mkono,msahafu huo wa Kihistoria ambao upo katika ofisi
za Nyaraka imeandikwa katika Kijiji cha Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja kwa
lugha ya Kiarabu,kulia mfanyakazi wa ofisi hiyo Moza Zahra(Picha na Abdall Masangu )
No comments:
Post a Comment