Habari za Punde

Yaliojiri Baraza wa Wawakilishi Chukwani.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar Mhe Fatma Ferej akijibu maswala ya Wajumbe wa Baraza kuhusiana na Ofisi yake wakati wa Kikao cha asabuhi. cha maswali na majibu na kuwasilishwa Ripoti za Kamati za Baraza la Wawakilishi.
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakiwa katika ukumbi wa Mkutano wakifuatilia michango ikiwasilishwa katika mkutano huo
Mwakilishi wa Jimbo la Mwanakwerekwe Zanzibar Mhe Shamsi Vuai Nahodha akimsikiliza Mhe Mbaroul Wadi Mtando akisisitiza jambo wakiwa katika ukumbi wa mkutano  
Maofisa wa Wizara za Serekali ya Mapinduzi Zanzibar wakifuatilia michango ya Wajumbe wa Baraza wakichangi na kujibiwa kwa maswala waliouliza kwa Wizara husika  
Waandishi wa habari wa vyombo vya ZBC TV na ZBC Redio wakiwa katika ukumbi wa wageni wakiripoti shughuli za Baraza la Wawakilishi kupitia vyombo vya live.
Wajumbe wakiwa katika Ukumbi wa Mkutano katika jengo la Baraza la Wawakilishi Chukwani Zanzibar
Muonekano wa Ukumbi wa Mkutano wa Baraza la Wawakilishi wakati wa Kikao cha Mkutano huo

Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Ali Abdallah Ali akitowa kwa bwaride katika Ukumbi wa Mkutano wa Baraza la ya kuahirisha kwa mapumziko ya mchana.
Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Zanzibar Mhe Juma Duni, akisalimiana na Mkurugenzi wa Idara ya Uvuvi Zanzibar Ndg Mussa Aboud Jumbe wakiwa nje ya ukumbi wa mkutano.  
Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee kushoto na Waziri wa Ardhi Makaazi, Nishati na Maji Mhe Ramadhani Abdalla Shabani wakitoka katika ukumbi wa mkutano baada ya kuahirishwa kwa mapumziko ya mchana. 
Mwakilishi wa Mji Mkongwe Mhe Ismail Jussa akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar Mhe Fatma Ferej, akizungumza jambo wakiwa nje ya Ukumbi wa Baraza baada ya kuahirishwa kwa mapumziko ya mafupi ya mchana. 
Mwakilishi wa Jimbo la Ole Mhe Hamad Masoud kulia akibadilisha mawazo na Mhe Shamsi Vuai Nahodho Mwakilishi wa Jimbo la Mwanakwerekwe.  
Waheshimiwa wakibadilisha mawazo wakati wa mapumziko ya Kikao cha asubuhi kuahirishwa kutoka kushoto Mhe Mohammed Diwa Jimbo la Mpendae Mhe Machano Othman Jimbo la Chumbuni na Mhe Mahmoud Thabit Kombo Jimbo la Kiembesamaki.
Waheshimiwa wakiwa na tabasamu wakitoka katika jengo la Baraza la Wawakilishi Zanzibar
Mhe Ismail Jussa akisisitiza jambo wakati akibadilishana mawazo na Wajumbe wezake nje ya ukumbi wa mkutano wa baraza.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.