Habari za Punde

Ziara ya Katibu Mkuu Kinana Arusha

 Ndg Nape Mnauye akihutubia kwa msisitizo kwa Wananchi wa Mkoa wa Arusha
 Wananchi wa Mkoa wa Arusha wakimsikiliza Katibu Mkuu wakati akiwahutubia katika mkutanio wa hadhara akiwa katika ziara yake kutembelea Mikoa ya Tanzania Bara.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinbuzi Ndg Abdurahaman Kinana akiwahutubia Wananchi wa Mkoa wa Arisha akiwa katika ziara yake kuimarisha Chama na kuangalia Utekelezaji wa miradi na Ilani ya Uchaguzi. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.