Habari za Punde

Mkutano wa Majeshi ya Anga Yalioko Chini ya Kusini Mwa Afrika Wafanyika Zanzibar


 Meja Generali Joseph Furaha Kapwani akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Utangulizi wa Mkutano wa Majeshi ya Anga yalioko chini ya Kusini mwa Afrika, unaotarajiwa kufunguliwa kesho katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar akizungumza na Wajumbe wa Mkutano huo.
 Wajumbe washiriki wa Mkutano huo wakimsikiliza Meja Generali Joseph Furaha, akizungumza wakati wa mkutano huo uliofanyika katika hoteli ya Zanzibar Beach Resort Zanziba.
 Wajumbe kutoka Angola wakiwa katika ukumbi wa mkutano wa utangulizi wakifuatilia mkutano huo.
                  Wajumbe wa kutoka Nchini Zimbabwe wakiwa katika ukumbi wa mkutano.


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.