Leo siku ya Alhamis ambapo Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda anajibu maswali papo kwa hapo. Tazama moja ya maswali anayohojiwa Bungeni.
TAKUKURU PWANI YAONGEZA MAPATO MACHINJIO MTAKUJA
-
Na Khadija Kalili,Michuzi TV
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Wilaya ya Kibaha Mkoa wa
Pwani imefanya uchambuzi wa mfumo wa ukusanyaji wa...
37 minutes ago
na nyie macuf hamna mpango wowote, nyote shirika moja pigeni kura ya kutokuwa na imani na rais kama kweli munataka watoke wale, na wawakilishi hivyo hivyo muone hapo ndio message ndo itafika, si unaona kumbe Pinda hata hajui kama wanafanyiwa unyama na pengine hajui hata kama wapo ndani mashekh.
ReplyDelete