Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Abdalla Mwinyi Khamis akizindua Mradi wa kuboresha maeneo ya wazi ya Mjini Zanzibar katika hafla iliyofanyika Idara ya Ardhi na Upimaji Forodhani Mjini Zanzibar, (kulia) Mkurugenzi wa Mipango Miji na Vijiji Muhamad Juma.
Msaidizi Fundi Mkuu wa Kampuni ya Ujenzi ya Landscape ya Switzerland Roland Raderschall akitoa maelezo ya Mradi wa mwanzo wa kuboresha Kiwanja cha Demokrasia cha Kibandamaiti katika hafla ya uzinduzi wa mradi huo.
Ramani ya maeneo matano ya wazi yatakayofanyiwa uboreshaji na Idara ya Mipango na Vijiji ambayo ni Kibandamaiti, Lumumba, Darajani, Chumbuni na Darajabovu. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
No comments:
Post a Comment