Habari za Punde

Mgombea Urais wa Zanzibar Kupitia Chama cha AFP Mhe Said Soud Said Azindua Kampeni zake Kisiwani Pemba.


 Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha AFR Mhe Said Soud Said,akiwasili katika viwanja vya kampeni yake ya Uzinduzi kwa aina yake kwa kutumia usafiri wa gari ya daladala akishuka katika garihiyo tayari kwa uzinduzi wa kampeni yake katika viwanja vya Kiuyu Kigongoni, Wilaya Wete Pemba.
Mgombea Ubunge wa jimbo la Kojani Bakari Hassan Hamad, akizungumza na wananchi wa kiuyu Kigongoni jimbo la Kojani, wakati wa uzinduzi wa kampeni za chama cha AFP kisiwani Pemba.
 Mgombea Uwakilishi Jimbo la Kojani Kisiwani kupitia Chama cha AFP Mhe:Said Hamad Malik, akiwahutubia wananchi wa jimbo la kojani huko katika uzinduzi wa kampeni za Chama cha AFP kisiwani Pemba
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha Wakulima Tanzania (AFP) Mhe:Said Soud Said, akizungumza na wananchi mbali mbali kisiwani Pemba, wakati wa uzinduzi wa mkutano wa kampeni wa chama hicho huko kiuyu kigongoni Kisiwani Pemba.
Wananchi kisiwani Pemba wakimsikiliza mgombea wa Urais wa AFP, Mhe:Said Soud Saidi wakati alipokuwa akifungua mkitano wa Chama chake huko Kiuyu Kigongoni Wilaya ya Wete Kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.