REA KUENDELEA KUWEZESHA WAENDELEZAJI WA MIRADI YA NISHATI VIJIJINI
-
-RC Njombe apongeza usimamizi wa miradi ya REA
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) utaendelea kutoa sapoti kwa waendelezaji
wa miradi ya kuzalisha na kusambaz...
1 hour ago
Jamaniii eee eee masoko ya aina hii jamaani yapigwe marufuku, aibu, maradhi, uchafu. Leo Zanzibar kuna kipindindu, tunatafuta sababu, tumeziweya kusema kipindupindu kinatokana na maji, lakini sio kweli, ukweli ni kwamba kipindupindu Cha mara hii kimekuja dry season, source nini, mimi nahisi masoko ya aina hii kwa kiasi kikubwa yanachangia kukuletea maradhi mbali mbali, tujurekebusheni jamaani
ReplyDelete