Askofu Mwankenja ahimimiza watanzania kupiga kura Oktoba 29
-
Na Mwandishi Wetu
Askofu wa Kanisa la Furahini katika Bwana la jijini Dar es Salaam
Dkt.Ezekiel Mwankenja amesema kuwa Watanzania kujitokeza katika kupiga ...
9 hours ago

Jamaniii eee eee masoko ya aina hii jamaani yapigwe marufuku, aibu, maradhi, uchafu. Leo Zanzibar kuna kipindindu, tunatafuta sababu, tumeziweya kusema kipindupindu kinatokana na maji, lakini sio kweli, ukweli ni kwamba kipindupindu Cha mara hii kimekuja dry season, source nini, mimi nahisi masoko ya aina hii kwa kiasi kikubwa yanachangia kukuletea maradhi mbali mbali, tujurekebusheni jamaani
ReplyDelete