Habari za Punde

Kikao cha kwanza cha Baraza la Mapinduzi (BLM) chafanyika Ikulu leo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mapinduzi (BLM) mara baada ya kuwaapisha Viongozi hao hapo jana, kikao kilichofanyika leo kiliwajumuisha Mawaziri pamoja na Naibu Mawaziri wote wa wizara 13 katika ukumbi wa Baraza hilo Ikulu Mjini Unguja, [Picha na Ikulu.]

1 comment:

  1. Mmmh business as usual, you ought to change your mindset. Nendeni kwa wananchi mkatatue changamoto zao.

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.