KATIBU Mkuu Wizara ya Kilimo na Maliasi Zanzibar,
Afan Othaman Maalim akipanda mti wa mkarafuu katika bonde la Mkanyageni shehia
ya Mzambarau Takao Jimbo la Wete, ikiwa ni uzinduzi wa upandaji miti kitaifa
iliyofanyika Kisiwani Pemba.(Picha na
Abdi Suleiman, PEMBA.)
NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo na Mali Asili
Zanzibar Dkt Bakari Sadi Ased, akiufukia mche wa mkarafuu baada ya kuipanda,
wakati wa zoezi la uzinuzi wa zoezi la upandaji wa miti kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MMOJA wa Watendaji wa Wizara ya Kilimo Pemba,
akibeba miche ya mikarafuu kuipeleka katika sehemu ya kwenda kupandwa wakati wa
uzinduzi wa zoezi la upandaji wa mikarafuu kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
BAADHI ya wanawake wakiwa wamebeba miche ya
mikarafuu, baada ya kumalizika kwa zoezi la upandaji wa michezo hiyo, huko
katika bonde la Mkanyageni Mtambwe.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
KATIBU Mkuu Wizara ya Kilimo na Mali Asili
Zanzibar, Afan Othaman Maalim, akizungumza na wananchi mara baada ya kuzindua
zoezi la upandaji wa michezo wa mikarafuu katika bonde la Mkanyageni Mazambarau
Takao Mtambwe.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
MKURUGENZI wa Idara ya Misitu Zanzibar Sheha Idrisa
Hamdan, akizungumza na wananchi juu ya mikakati ya idara yake kutoa miche ya
mikarafuu kwa wananchi bure.(Picha na
Abdi Suleiman, PEMBA.)
NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Zanzibar Dkt
Bakari Sadi Ased, akizungumza na wananchi wa Mzambarau Takao mara baada ya
kumaliza kazi ya upandaji wa miti ya Mikarafuu kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment