Waziri wa Habari na Utamaduni, Vijana na Michezo Zanzibar (wa pili kulia) aliposhiriki uzinduzi wa Baraza la Vijana la shehia tatu zilizopakana na Shehia ya Amani. Uzinduzi huu umefanyika tarehe 29/05/2016 katika skuli ya Nyerere
Kikundi cha young unit art group cha Kilimahewa Bondeni kikionyesha mchezo wa uhamasishaji wa kujiunga na mabaraza la vijana siku ya zinduzi wa Baraza la Vijana la shehia tatu zilizopakana na Shehia ya Amani. Uzinduzi huu umefanyika tarehe 29/05/2016 katika skuli ya Nyerere
No comments:
Post a Comment