Wafanyabiashara katika Makontena ya Darajani wameafa kubomoa madaka yao baada ya kufika muda waliopewa mwisho mwa mwizi huu zoezi hilo limeaza usiku huu kubomoa na kuchukua vifaa vya vya ujenzi makontena hayo ni baadhi ya eneo hilo la darajani linalotaka kujengwa Maduka ya Kisasa
TASAC YAENDELEZA ELIMU KWA WAVUVI
-
Na Mwandishi Wetu, Geita
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limeanzisha kampeni ya kutoa
elimu ya usafiri salama wa majini katika Wilaya ya Chato ...
11 hours ago

No comments:
Post a Comment