Wafanyabiashara katika Makontena ya Darajani wameafa kubomoa madaka yao baada ya kufika muda waliopewa mwisho mwa mwizi huu zoezi hilo limeaza usiku huu kubomoa na kuchukua vifaa vya vya ujenzi makontena hayo ni baadhi ya eneo hilo la darajani linalotaka kujengwa Maduka ya Kisasa
KWA SASA NYAMA CHOMA NI VINGUNGUTI KWA KUMBILAMOTO TU…NJOO TUINJOI MTU WANGU
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
Ni mwendo wa nyamachoma tu! Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea yanayoendelea
katika soko la nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vi...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment