MCHEZAJI Adam Seif (jezi Majano) wa Timu ya
Tekeleza, akimdhibiti mshambuliaji wa Timu ya Small Libakuza Hamad Shehe,
katika mchezo wa ligi daraja la Pili Taifa Pemba, hatua ya sita bora, mchezo
uliopigwa katika uwanja wa Gombani na kumalizika kwa goli 1-1.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
MSHAMBULIAJI wa Timu ya Small Libakuza Hamad Shehe,
akijaribu kutafuta mbinu za kumtoka mlizi wa Timu ya Tekeleza Adam Seif, katika
mchezo wa ligi daraja la Pili Taifa Pemba, hatua ya sita bora mchezo uliopigwa
katika uwanja wa Gombani na kumalizika kwa goli 1-1.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
MLINDA Mlango wa Timu ya Tekeleza Abuu Silima,
akiruka juu kuokoa mpira wa Kona uliopigwa langoni mwake, wakati wa mchezo wa
ligi daraja la Pili Taifa Pemba, hatua ya sita bora mchezo uliopigwa katika
uwanja wa gombani na kumalizika kwa goli 1-1.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
No comments:
Post a Comment