Habari za Punde

Madaktari Bingwa wa Maradhi ya Moyo Kutoka Taasisi ya Save A Child’s Heart Wakiendesha Zoezi la Uchunguzi wa Maradhi Hayo kwa Watoto Zanzibar.

Daktari Bingwa wa magonjwa wa Moyo kutoka Save A Child’s Heart Dr. Yifat Brosh, akimfanyia uchunguzi wa maradhi ya moyo mototo Hairat Mohammed Nassor mwenye umri wa miaka mitatu na miezi mitano wakati wa zoezi hilo la kuwachunguza watoto wanaosumbulia na maradhi ya Moyo Zanzibar zoezi hilo nafanyika katika hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar
Daktari Bingwa wa maradhi ya Moyo kwa Watoto,Dr. Yifat Brosh akiwa katika zoezi hilo la kuchunguza maradhi hayo kwa watoto wanaosumbuliwa na matatizi ya Moyo Zanzibar wakati wa zoezi hilo. 
Zoezi la uchunguzi kwa Watoto wanaosumbuliwa na maradhi ya Moyo Zanzibar wakipata huduma hiyo kutoka kwa Jopo la Madaktari Bingwa.




No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.