Habari za Punde

Wafanyakazi wa Zantel Wakishiriki Katika Kufanya Usafi Soko la Samaki Kunduchi Jijini Dar es Salaam.

Wafanyakazi wa Kampuni ya mawasiliano ya Zantel wakishiriki kufanya usafi katika soko la Samaki la Kunduchi ikiwa ni moja ya hatua ya uwajibikaji wa Kampuni hiyo kwa jamii katika kuweka mazingira ya safi na salama. Zeozi hilo lilifanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es salaam ambapo kampuni hiyo ilikabidhi pia vifaa vya kufanyia usafi kwa uongozi wa soko hilo ili kuendeleza utamaduni huo.
 WafanyakaziwaKampuniyamawasilianoya Zantel wakishirikikufanyausafikatikasoko la Samaki la KunduchiikiwanimojayahatuayauwajibikajiwaKampunihiyokwajamiikatikakuwekamazingirayaosafinasalama. Zeozihilolilifanyikamwishonimwa wiki jijini Dar es salaam ambapokampunihiyoilikabidhi pia vifaavyakufanyiausafikwauongoziwasokohiloilikuendelezautamadunihuo.
Meneja Chapa na Mawasiliano Zantel, Rukia Mtingwa (Kulia) akishiriki kufanya usafi katika soko la Samaki la Kunduchi ikiwa ni moja ya hatua ya uwajibikaji wa Kampuni hiyo kwa jamii katika kuweka mazingira ya usafi na salama. Zeozi hilo lilifanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es salaam ambapo kampuni hiyo ilikabidhi pia vifaa vya kufanyia usafi kwa uongozi wa soko hilo ili kuendeleza utamaduni huo.
 Meneja Chapa naMawasiliano Zantel, RukiaMtingwa (mwenyekofianyeusikulia) akizungumzanauongoziwasoko la Samaki la Kunduchimarabaadayawafanyakaziwa Zantel kumalizazoezi la kufanyausafikatikasokohilomwishonimwa wiki jijini Dar es salaam. ZoezihilonimojayahatuayauwajibikajiwaKampunihiyokwajamiikatikakuwekamazingirayaosafinasalamaambapokampunihiyoilikabidhi piavifaavyakufanyiausafikwauongoziwasokohiloilikuendelezautamadunihuo.
Meneja Chapa naMawasiliano Zantel, RukiaMtingwa (mwenyekofianyeusikulia) naMenejaMwajiri Zantel, Frank Jackson (mwenyekofianyeusikushoto) wakikabidhivifaavyakufanyiausafikwauongoziwasoko la Samaki la Kunduchimarabaadayawafanyakaziwa Zantel kumalizazoezi la kufanyausafikatikasokohilomwishonimwa wiki jijini Dar es salaam. ZoezihilonimojayahatuayauwajibikajiwaKampunihiyokwajamiikatikakuwekamazingirasafinasalamaambapokampunihiyoiliwatakawadauhaokuendelezautamadunihuo.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.