Habari za Punde

Maonesho ya Masomo ya Yanayotolewa na Chuo Kikuu cha SUZA Zanzibar. I

Dr, Ali Said Yuusuf  Mhadhiri wa Chuo cha Afya, Sayansi na Tiba SUZA akitowa maelezo kwa wananchi na wanafunzi wa Skuli za Sekondari waliohudhuria maonesho hayo na kujiunga na masomo kwa muhula ujao wa masomo SUZA. Maonesho hayo yamefanyika katika ukumbi wa Chuo cha SUZA Majestiki Zanzibar.
Mwalimu wa SUZA Suleiman Juma akitowa maelezo ya masomo yanayotolewa na SUZA wakati wa maonesho ya kimasomo yanayotolewa na chuo hicho.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.