CDR Hussein Mohammed Seif akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na mbio za Marathoni zinazotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi wa Oktoba 29, Zanzibar na kuzia mbio hizo katika eneo la Kambi ya KMKM Kibweni Zanzibar na kumalizikia katika viwanja vya maisara. Mbio hizo zitawashirikisha wakimbiaji kutoka Zanzibar Tanzania Bara na Kenya tayari wamethibitisha kushiriki mbio hizo za Marathoni.
Mhandisi Mativila aridhishwa Utekelezaji wa Miradi ya Barabara ya
Mtili-Ifwagi na Sawala-Iyegeya
-
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, TAMISEMI anayeshughulikia Miundombinu,
Mhandisi Rogatus Mativila ametembelea na kukagua miradi ya ujenzi wa
barabara za ...
10 minutes ago
No comments:
Post a Comment