CDR Hussein Mohammed Seif akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na mbio za Marathoni zinazotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi wa Oktoba 29, Zanzibar na kuzia mbio hizo katika eneo la Kambi ya KMKM Kibweni Zanzibar na kumalizikia katika viwanja vya maisara. Mbio hizo zitawashirikisha wakimbiaji kutoka Zanzibar Tanzania Bara na Kenya tayari wamethibitisha kushiriki mbio hizo za Marathoni.
Maafisa Ustawi wa Jamii wa Sekta ya Afya na Hospitali Wajengewa Uwezo
-
Na.Mwandishi Wetu
Meya wa Jiji la Zanzibar Mhe. Mahmoud Mohammed Mussa amesema hali halisi
ya utoaji wa huduma za ustawi wa jamii hivi sasa Zanzibar im...
27 minutes ago
No comments:
Post a Comment