CDR Hussein Mohammed Seif akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na mbio za Marathoni zinazotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi wa Oktoba 29, Zanzibar na kuzia mbio hizo katika eneo la Kambi ya KMKM Kibweni Zanzibar na kumalizikia katika viwanja vya maisara. Mbio hizo zitawashirikisha wakimbiaji kutoka Zanzibar Tanzania Bara na Kenya tayari wamethibitisha kushiriki mbio hizo za Marathoni.
RAIS DKT SAMIA MGENI RASMI SHEREHE ZA MAADHIMISHO MIAKA 50 YA UHURU NCHINI
COMORO
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akikagua Gwaride la Jeshi la Umoja wa Visiwa vya Comoro alipowasili kwenye
Uwanja...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment