Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Alhajj Ali Mohamed Shein,
akisalimia na Mmwenyekiti wa Kamati ya Maulid ya Mfungo Sita Zanzibar Mshauri Mkuu Sheikh
Shirali Champsi alipowasili katika viwanja vya
maisara Zanzibar kuhudhuria hafla ya Maulid ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) na kujumuika na Wananchi wa Zanzibar kuadhimisha Siku hiyo Tukufu.
Makamu wa Rais Mstaaf Dkt Mohammed Gharibi
Bilal akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mohmoud alipowasili katika viwanja vya maisara kuhuhudhuria sherehe za Maulid ya Kuzaliwa Mtume
Muhammad SAW, yaliofanyika Kitaifa katika viwanja vya maisara
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Alhajj Ali Mohamed Shein,
akisalimiana na Makamu wa Rais Mstaaf Dkt. Mohammed Gharib Bilal alipowasili
katika viwanja vya maisara kuhudhuria Maulid ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W)
kitaifa yamefanyika Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Alhajj Ali Mohamed
Shein, akiwa na Viongozi mbalimbali wa Dini na Serikali wakiwa wamesimama baada ya kuwasili katika viwanja hivyo na kusomwa Qaswida ya kumkaribisha.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akiwa na Viongozi mbalimbali wakisimama wakati wa kutoa salamu ya kumkaribisha Mgeni Rasmin Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Alhajj Ali Mohamed Shein alipowasili
katika viwanja hivyo kuhudhuria Maulid ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W)
Wanafunzi wa Madrasatul E’itiswam ya Chukwani Zanzibar wakisoma Qwasid ya Salamu ya
kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Alhajj
Ali Mohamed Shein, katika viwanja vya maisra Zanzibar
Kadhi Mkuu wa Zanibar Sheikh Khamis Haji akitowa maelezo kabla ya kuaza kwa hafla ya
Maulid ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyika katika viwanja vya
maisara Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Alhajj Ali Mohamed Shein,
akisoma ratiba ya hafla ya Maulid ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W)
yaliofanyika katika viwanja vya maisara kushoto Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh
Saleh Omar Kabi na kulia Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji
Baadhi ya waalikwa katika hafla ya Maulid ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W)
wakifuatilia hafla hiyo katika viwanja vya maisara Zanzibar
Baadhi ya Waumini wa Dini ya Kiislam Zanzibar wakihudhuria katika Maulid ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W)
katika viwanja vya maisara Zanzibar
Ustadh Hamadan Juma Hamdan kutoka magogoni Mkoa wa
Mjini Magharibi Unguja akisoma Quran surah Fat-h aya ya 4 hadi ya 10, kabla ya kuaza kwa
hafla hiyo.
Waumini Dini ya Kiislam Zanzibar wakihudhuria kuadhimisha sherehe Tufuku ya kuzaliwa kwa
Mtume Muhamaad (S.A.W) katika viwanja vya maisara Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Alhajj Ali Mohamed
Shein, akijumuika katika sherehe tukufu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W)
akijumuika na Waumini wa Dini ya Kiislam Zanzibar kuadhimisha siku hiyo katika
viwanja vya maisara Zanzibar
Wanafunzi wa Madrasatul Insania kutoka roundabout magogoni Mkoa wa Mjini Unguja wakisoma
Qaswida ya Rabbi Swalli wakati wa hafla hiyo ya Maulid ya kuzaliwa kwa Mtume
yaliofanyika katika viwanja vya maisara Zanzibar
Ustadh Juma Fakhi Omar kutoka Amaan Mkoa
wa Mjini Unguja akisoma mlango wa kwanza
wa Maulid ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyika Kitaifa katika
viwanja vya Maisara Zanzibar
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akijumuika na Wananchi na Viongozi
wa Serikali katika hafla ya Maulid ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W)
yaliofanyika katika viwanja vya Maisara Zanzibar
Viongozi wa Serikali na Dini Zanzibar wakihudhuria Maulid ya Kuzaliwa Mtume Muhammad
(S.A.W) yaliofanyika katika viwanja vya maisara wakiwa wamesimama wakati Qiyam
Taala( kumsalia Mtume). Qaswida hiyo ikisomwa na Madrasatul Qamaria ya kibanda hatari Zanzibar
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akiwa na Viongozi wa Serikali na
Wananchi wakiwa wamesimama wakati wakimsalia Mtume ( Qiyam Taala) wakati wa hafla hiyo ya Maulid ya Kuzaliwa
Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyika katika viwanja vya Maisara Zanzibar
Wanafunzi wa Madrasatul Qamaria ya Kibanda Maiti Unguja wakiwa wamesemama wakisoma
Qaswida ya Qiyam Taala wakati wa hafla hiyo ya Maulid ya Kuzaliwa Mtume
Muhammad (S.A.W) katika viwanja vya maisara Zanzibar
Wanafunzi wa Madrasatul Qamaria ya Kibanda Maiti Unguja wakiwa wamesemama wakisoma
Qaswida ya Qiyam Taala kumsalia Mtume wakati wa hafla hiyo ya Maulid ya Kuzaliwa Mtume
Muhammad (S.A.W) katika viwanja vya maisara Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Alhajj Ali Mohamed Shein,
akiwa amesimama kumsalia Mtume (Qiyam Taala) na viongozi wa jukwaa kuu katika hafla ya
kuadhimisha sherehe ya Maulid ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W)
yaliofanyika Kitaifa katika viwanja vya maisara Zanzibar
Waumini wa Dini ya Kiislam Zanzibar wakiwa wamesimama Qiyam Taala wakati wa hafla hiyo ya
Maulid ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyika katika viwanja vya
maisara Zanzibar kitaifa
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akiwa na Viongozi wa Serikali na
Wananchi wakiwa wamesimama Qiyam Taala wakati wa hafla ya Maulidi ya kuzaliwa
Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyika katika viwanja vya Maisara Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Alhajj Ali Mohamed
Shein, akikabidhiwa CD ya Qaswida ya Mwaka wa Kiislam 1439 –Al Hijra na Mwenyekiti wa
Kamati ya Maulid ya Mfungo Sita Sheikh Sherali Champsi, wakati wa hafla ya
Maulid ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyika Kitaifa Zanzibar katika
viwanja vya Maisara
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Alhajj Ali Mohamed Shein, akikabidhiwa CD ya Qaswida ya Mwaka wa Kiislam 1439 –Al Hijra na Mwenyekiti wa Kamati ya Maulid ya Mfungo Sita Sheikh Sherali Champsi, wakati wa hafla ya Maulid ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyika Kitaifa Zanzibar katika viwanja vya Maisara
Sheikh.Mohammed Kassim kutoka Kamisheni ya Wakfu Zanzibar akisoma hutba ya Kiswahili
wakati wa hafla ya sherehe za kuadhimisha kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) maulid yaliofanyika katika viwanja vya maisara Zanzibar
Wanafunzi kutoka Mtendeni Unguja wakisoma Maulid ya Homu wakati wa hafla hiyo
ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyika Kitaifa katika viwanja vya
Maisara Zanzibar
Wanafunzi kutoka Madrasatul Mina ya Jambiani Unguja Wilaya ya Kusini wakisoma Qaswida
katika hafla hiyo ya Maulid ya Mfungo Sita yaliofanyika katika viwanja vya
maisara Zanzibar
Wanafunzi kutoka Madrasatul Sanaa Munta Kalam ya Ukongongoroni Wilaya ya Kusini Unguja
wakisoma Qaswida wakati wa hafla hiyo ya Maulid ya Mfungo Sita ya Kuzaliwa
Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyika katika viwanja vya maisara Zanzibar
Ustadh Nassor Seif Rashid kutoka Mkoa wa Mjini Unguja akisoma maulid mlango wa
Tano katika hafla hiyo ya Maulid ya kuzaliwa Mtume
Muhammad (S.A.W) yaliofanyika katika viwanja vya maisara Zanzibar
Wanafunzi mchanganyiko kutoka Madrasatu Ihsan Islamia Pemba na Madrasatul Taqwa Lillah
Islamia Gomani Tumbatu Unguja wakisoma Qaswida ya Mwaka wa kiislam 1439 Al
Hijra wakati wa hafla hiyo ya Maulid ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W)
yaliofanyika katika viwanja vya maisara Zanzibar
Sheikh
Waziri Hassan Choum akisoma dua ya Barzanji wakati wa hafla hiyo ya mauled ya
kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyika Kitaifa Zanzibar katika viwanja
vya Maisara na kuhudhuriwa na Waumin wengi wa Kiislam wa Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Alhajj Ali Mohamed
Shein, na viongozi wengine wa Serikali na Dini wakiitikia dua iliokuwa ikisomwa
na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi baada ya kumalizika hafla hiyo
ya Maulidi ya Mfungo Sita katika viwanja vya Maisara Zanzibar
Mke
wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, na viongozi wengine wa Serikali na
Dini wakiitikia dua iliokuwa ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh
Omar Kabi baada ya kumalizika hafla hiyo ya Maulidi ya Mfungo Sita katika
viwanja vya Maisara Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Alhajj Ali Mohamed Shein,
akiagana na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid
baada ya kumalizika hafla hiyo ya Maulid ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W)
yaliofanyika Kitaifa Zanzibar katika viwanja vya Maisara
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Alhajj Ali Mohamed
Shein, akiagana na kusalimiana na Kamishna Mstaaf wa Polisi Zanzibar Mzee Halid,
Iddi. baada ya kumalizika hafla hiyo ya
Maulid ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyika Kitaifa Zanzibar katika
viwanja vya Maisara
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Al Hajj Ali Mohamed Shein,
akiagana na kusalimiana na Sheikh Ali Yani, baada ya kumalizika hafla hiyo ya
Maulid ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyika Kitaifa Zanzibar katika
viwanja vya Maisara
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Alhajj Ali Mohamed
Shein, akiagana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Ayoub Mohammed
Mahmoud, baada ya kumalizika hafla hiyo
ya Maulid ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyika Kitaifa Zanzibar
katika viwanja vya Maisara
No comments:
Post a Comment