Mchezo wa Kuvuta kamba kati ya Wazee Arusha Sports Club na Baraza la Wawakilishi Sports Club wakishiriki katika michezo ya Tamasha la Pasaka katika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Baraza imeshinda mchezo huo kwa kuwavuta Wazee Arusha Sports Club.uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
Askofu Mwankenja ahimimiza watanzania kupiga kura Oktoba 29
-
Na Mwandishi Wetu
Askofu wa Kanisa la Furahini katika Bwana la jijini Dar es Salaam
Dkt.Ezekiel Mwankenja amesema kuwa Watanzania kujitokeza katika kupiga ...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment