Mchezo wa Kuvuta kamba kati ya Wazee Arusha Sports Club na Baraza la Wawakilishi Sports Club wakishiriki katika michezo ya Tamasha la Pasaka katika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Baraza imeshinda mchezo huo kwa kuwavuta Wazee Arusha Sports Club.uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
DC LUDEWA AFANYA KISOMO KUMWOMBEA RAIS DKT. SAMIA
-
Na. Damian Kunambi, Njombe
Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva akiambatana na Mkurugenzi wa
Halamashauri, viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamo...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment