WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala
Bora Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suluiman akijibu hoja za michango ya Wajumbe wa
Baraza la Wawakilishi wakati walipokuwa wakichangia Hutuba ya Bajeti ya Mwaka
wa Fedha 2018/2019
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakifuatilia Majibu ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar na Waziri husika Mhe. Haroun Ali Suleiman wakati wa Mkutano wa Kumi wa Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar,kabla ya kupitisha Vifungu vya matumizi.
No comments:
Post a Comment