Waziri wa Fedha na Mipango
Dkt. Philip Isdor Mpango akipokea picha ya alama ya ushirikiano ya kiasi cha Dola
500 kutoka kwa Afisa mwandamizi wa Benki ya Suisse ya Uingereza Bi. Elizabeth
Muchemi, katika Ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango Jijini Dar es Salaam
Waziri wa Fedha na Mipango
Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (wa pili kulia) akiwa kwenye majadiliano na
ujumbe kutuko Benki ya Credit Suisse, ambapo Benki hiyo inasaidia maswala mbalimbali
ya kimaendeleo ikiwemo kusaidia kwenye Sekta na Maji, Barabaraba na Umeme,
katika Ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango Jijini Dar es Salaam.
Mchumi Mkuu wa Wizara ya
Fedha na Mipango Bw. Omary Khama (kulia), anayeshughulika na maswala ya
uchambuzi wa madeni akimwelezea Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip
Isdor Mpango (Mb) (wa pili kulia) kuhusu miradi mbalimbali itakayotekelezwa
kutokana na pesa iliyopatikana, katika Ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango
Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Fedha na Mipango
Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe kutoka
Benki ya CREDIT SUISSE.
Waziri wa Fedha na Mipango
Dkt. Philip Isdor Mpango (kulia) akimshukuru Mkurugenzi Mkuu wea Benki ya
Suisse Bw. Lawrence B. Fletcher kwa mikopo mbalimbali ambayo Benki hiyo imetoa
kwa Serikali ya Tanzania katika Sekta mbalimbali, katika Ukumbi wa Wizara ya
Fedha na Mipango Jijini Dar es Salaam.
(Picha
na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha na Mipango)
No comments:
Post a Comment