Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt.
John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Waziri wa uhusiano wa Kimataifa wa
Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Song Tao wanne kutoka kushoto pamoja na
Makatibu wa vyama vya, CCM, ANC, SWAPO, ZANU-PF,
MPLA, FRELIMO, wakiweka mchanga kama ishara ya uwekaji wa Jiwe la msingi Ujenzi
wa Chuo cha Mwalimu Julius Nyerere kinachojengwa katika eneo la Kibaha kwa
mfipa mkoani Pwani.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt.
John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Waziri wa uhusiano wa Kimataifa wa
Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Song Tao wanne kutoka kushoto pamoja na
Makatibu wa vyama vya, CCM, ANC, SWAPO, ZANU-PF,
MPLA, FRELIMO, wakiweka mchanga kama ishara ya uwekaji wa Jiwe la msingi Ujenzi
wa Chuo cha Mwalimu Julius Nyerere kinachojengwa katika eneo la Kibaha kwa
mfipa mkoani Pwani.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na mgeni wake Waziri
wa uhusiano wa Kimataifa wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Song Tao
kabla ya tukio la uwekaji jiwe la msingi ujenzi wa Chuo cha Uongozi cha Mwalimu
Julius Nyerere kinachojengwa katika eneo la Kibaha kwa mfipa mkoani Pwani
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi kabla ya ya
kuweka jiwe la msingi ujenzi wa Chuo cha Uongozi cha Uongozi cha Mwalimu Julius Nyerere kinachojengwa katika
eneo la Kibaha kwa mfipa mkoani Pwani.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia mfano wa moja ya majengo ya
chuo hicho kitakapo kamilika kujengwa.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli akipiga ngoma pamoja Sophia
Shaningwa Katibu wa Chama cha SWAPO
kutoka nchini Namibia huku Waziri wa uhusiano wa Kimataifa wa Chama cha
Kikomunisti cha China (CPC) Song
Tao akipiga makofi mara baada ya uwekaji wa jiwe la msingi ujenzi wa Chuo cha
Uongozi cha Mwalimu Julius Nyerere kinachojengwa katika eneo la Kibaha kwa
mfipa mkoani Pwani.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt.
John Pombe Magufuli akipiga ngoma na Katibu wa Chama cha SWAPO kutoka Namibia
Sophia Shaningwa pamoja na Waziri wa uhusiano wa Kimataifa wa Chama cha
Kikomunisti cha China (CPC) Song Tao mara baada ya kuweka jiwe la msingi ujenzi
wa Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Julius Nyerere kinachojengwa katika eneo la
Kibaha kwa mfipa mkoani Pwani.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt.
John Pombe Magufuli akipiga ngoma na Waziri wa uhusiano wa Kimataifa wa Chama
cha Kikomunisti cha China (CPC) Song Tao mara baada ya kuweka jiwe la msingi
ujenzi wa Chuo cha Mwalimu Julius Nyerere kinachojengwa katika eneo la Kibaha
kwa mfipa mkoani Pwani.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt.
John Pombe Magufuli akiwa katika picha na mgeni wake Waziri wa uhusiano wa
Kimataifa wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Song Tao wanne kutoka
kushoto waliokaa, viongozi wa vyama vya ANC, SWAPO,ZANU-PF, MPLA, FRELIMO
pamoja na viongozi mbalimbali wa Chama cha Mapinduzi CCM mara baada ya kuweka
jiwe la msingi ujenzi wa Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Julius Nyerere kinachojengwa katika
eneo la Kibaha kwa mfipa mkoani Pwani. Chuo hicho kinajengwa na Chama cha
Kikomunisti cha China (CPC) kwa gharama ya Shilingi Bilioni mia moja(100).
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt.
John Pombe Magufuli akipunga mkono kwa wananchi(hawaonekani pichani) wakati
akiwasili katika eneo kitakapojengwa Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Julius
Nyerere Kibaha kwa mfipa mkoani Pwani.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment