Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimjulia hali na kumpa pole Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Hamisi Kigwangalla aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam, baada ya kupata ajali ya gari Agosti 4, 2018. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
CHATANDA ATEMBELEA BANDA LA OFISI YA WAZIRI MKUU SABASABA
-
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Taifa (UWT)Ndg. Mary Chatanda leo tarehe 06
Julai,2025 ametembelea Banda Jumuishi ya Ofisi ya Waziri Mkuu lililopo
katika V...
53 minutes ago
No comments:
Post a Comment