Mkufunzi wa zamani wa Real Madrid Zinedine Zidane anataka kurudi katika kazi yake ya ukufunzi na anajiandaa kumrithi Jose Mourinho katika klabu ya Manchester United msimu ujao. (L'Equipe - in French)
Mkurugenzi wa Barcelona Ariedo Braida anasema klabu yake haiwezi kutoa ofa kwa Paul Pogba wa Manchester United msimu huu, lakini amemtaja mchezaji huyo Mfaransa mwenye miaka 25 kama mchezaji mzuri na atakuwa anamfuatilia Mfaransa huyo. (Mirror)
No comments:
Post a Comment