Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja Watoa Mkono wa Pole kwa Uongozi wa Hoteli ya Uroa Bay, kutokana na Ajali iliotokea wiki iliopia na kufariki Wafanyakazi wa Hoteli hiyo, Ujumbe huo ukiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja Ndg. Ramadhani Ali Kichupa na Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Ndg Haidar Haji Abdalla, akitowa maelezo Katibu wa CCM wa Mkoa Kusini Unguja, Ndg.Suleiman Mzee (Charas) na kuutambulisha Ujumbe huo kwa Uongozi wa Hoteli hiyo.kulia Mmiliki wa Hoteli Mr. Andrea Balladini.
Ulega Ahamasisha Wananchi Tambani Kujitokeza Kupiga Kura Oktoba 29
-
*MKURANGA, Pwani* – Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mkuranga kupitia Chama Cha
Mapinduzi (CCM), Abdallah Ulega, amewataka wananchi wa Kijiji cha Tambani
ku...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment