Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja Watoa Mkono wa Pole kwa Uongozi wa Hoteli ya Uroa Bay, kutokana na Ajali iliotokea wiki iliopia na kufariki Wafanyakazi wa Hoteli hiyo, Ujumbe huo ukiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja Ndg. Ramadhani Ali Kichupa na Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Ndg Haidar Haji Abdalla, akitowa maelezo Katibu wa CCM wa Mkoa Kusini Unguja, Ndg.Suleiman Mzee (Charas) na kuutambulisha Ujumbe huo kwa Uongozi wa Hoteli hiyo.kulia Mmiliki wa Hoteli Mr. Andrea Balladini.
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment