Mkuu wa Operesheni Maalum za
Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas akitoa Elimu kwa
wanakijiji wa Chikong’o, Wilayani Tandahimba, Mkoa wa Mtwara juu ya kukabiliana
na wageni wanaoingia maeneo hayo wakitokea sehemu mbalimbali za Nchi na Nchi jirani
ya Msumbiji hiyo itasaidia kupunguza uhalifu katika maeneo na makazi yao .
Mkuu wa Operesheni Maalum
za Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas akitoa Elimu kwa
wanakijiji cha Mkaha Wilaya ya Tandahimba Mkoa wa Mtwara, juu ya kukabiliana na
wageni wanaoingia maeneo hayo wakitokea sehemu mbalimbali za Nchi na Nchi jirani
ya Msumbiji hiyo itasaidia kupunguza uhalifu katika maeneo na makazi wanayoishi
Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Nchini Naibu
Kamishna DCP Liberatus Sabas akiwa katika kijiji cha Chikong’o wilayani Tandahimba
mkoani Mtwara akikagua moja ya vipenyo wanavyotumia wahalifu kuvuka kutoka
nchini Tanzania kwenda Nchini Msumbiji moja ya vipenyo hivyo ni Mto Ruvuma. (Picha
na Jeshi la Polisi)
No comments:
Post a Comment