Mchezaji wa Timu ya Beit Rais akijaribu kumpita mchezaji wa Timu ya Rangers wakati wa mchezo wa Ligi ya Kanda ya Unguja uliofanyika katika Uwanja wa Maisara Zanzibar, Timu ya Beit Ras imeshinda mchezo huo kwa Vikapu.77 - 43. Ligi hiyo inaendelea katika uwanja huo kwa michezo mbalimbali. 
ADA COTTRELL FOUNDATION YATOA MSAADA NUNGWI-ZANZIBAR
-
Na Mwandishi Wetu
Taasisi ya ADA COTTRELL FOUNDATION kwa kushirikiana na Taasisi ya (LDF)
Labayka Development Foundation imetoa mahitaji kwa Watoto wanaish...
57 minutes ago
No comments:
Post a Comment