Mchezaji wa Timu ya Beit Rais akijaribu kumpita mchezaji wa Timu ya Rangers wakati wa mchezo wa Ligi ya Kanda ya Unguja uliofanyika katika Uwanja wa Maisara Zanzibar, Timu ya Beit Ras imeshinda mchezo huo kwa Vikapu.77 - 43. Ligi hiyo inaendelea katika uwanja huo kwa michezo mbalimbali. 
WATUMISHI REA WAPONGEZWA
-
Watumishi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wamepongezwa kwa kujituma na
kufanya kazi kwa bidii hali iliyopelekea mafanikio makubwa ya Wakala huo
ikiwa...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment