Mchezaji wa Timu ya Beit Rais akijaribu kumpita mchezaji wa Timu ya Rangers wakati wa mchezo wa Ligi ya Kanda ya Unguja uliofanyika katika Uwanja wa Maisara Zanzibar, Timu ya Beit Ras imeshinda mchezo huo kwa Vikapu.77 - 43. Ligi hiyo inaendelea katika uwanja huo kwa michezo mbalimbali.
MSAJILI WA HAZINA AZUNGUMZA NA MKURUGENZI MPYA WA HESLB
-
Msajili wa Hazina Nehemiah Mchechu (kulia), akizungumza na Mkurugenzi
Mtendaji Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Dkt. Bill
Kiwia (w...
16 minutes ago
No comments:
Post a Comment