Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akivuta
utepe pamoja na Waziri wa Elimu Profesa Joyce Ndalichako kuashiria uzinduzi wa
Hospitali ya Uamsho wa Wakristo Tanzania (UWATA) iliyopo Mwakibete jijini Mbeya
ambayo inatoa huduma za afya kwa mkoa wa Mbeya pamoja na nchi jirani za Zambia na
Malawi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na viongozi
mbalimbali wa mkoa wa Mbeya, Wabunge, Mawaziri, akikata utepe kuashiria
uzinduzi wa Hospitali ya Uamsho wa Wakristo Tanzania (UWATA) iliyopo Mwakibete
jijini Mbeya ambayo inatoa huduma za afya kwa wananchi wa mkoa wa Mbeya pamoja
na nchi jirani za Zambia na Malawi.
Mandhhari
ya hospitali ya UWATA iliyopo jijini Mbeya ambayo inatoa huduma za afya kwa
mkoa wa Mbeya pamoja na nchi jirani za Zambia na Malawi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi waliofika
katika uzinduzi wa Hospitali ya UWATA jijini Mbeya mara baada ya kuizindua.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na wananchi wa Chimala Wilayani Mbarali mkoani Mbeya.
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment