Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mwenyeji wake Rais wa Zimbabwe
Mheshimiwa Emmerson Mnangagwa alipokuwa akisalimiana na Kaimu Balozi wa
Zimbabwe Nchini Tanzania Martin Tavenyika mara baada ya kuwasili katika uwanja
wa ndege wa kimataifa wa Robeth Mugabe Jijini Harare Nchini Zimbwabwe. Mei 28,
2019.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikagua
paredi maalumu lililoandaliwa na Jeshi la Zimbwabwe mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege
wa kimataifa wa Robeth Mugabe Jijini Harare Nchini Zimbwabwe
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na
Mwenyeji wake Rais wa Zimbabwe Mheshimiwa Emmerson Mnangagwa wakitazama kikundi
cha ngoma mara baada ya kuwasili katika
uwanja wa ndege wa kimataifa wa Robeth Mugabe Jijini Harare Nchini Zimbwabwe.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na
Mwenyeji wake Rais wa Zimbabwe Mheshimiwa Emmerson Mnangagwa pamoja Mke wa Rais
wa Zimbwabwe Amai Mnangagwa kabla ya kuanza mazungumzo katika Ikulu ya Harare
Zimbabwe
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
katika picha ya pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Zimbabwe Mheshimiwa Emmerson
Mnangagwa Mnangagwa kabla ya kuanza mazungumzo katika Ikulu ya Harare Zimbabwe
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
katika picha ya pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Zimbabwe Mheshimiwa Emmerson
Mnangagwa, Mke wa Rais wa Zimbwabwe Mhe.
Amai Mnangagwa(Wapili kutoka kulia),Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa
Afrika Mashariki wa Tanzania Profesa Palamagamba Kabudi (Wapili kutoka
kushoto),Waziri wa Mambo ya nje wa Zimbabwe Mhe.Sibusiso Moyo(Wakwanza kulia)
pamoja na Mkuu wa Itifaki wa Tanzania
Balozi Grace Martin kabla ya kuanza mazungumzo katika Ikulu ya Harare
Zimbabwe.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akimkabidhi zawadi ya picha Mwenyeji wake Rais wa Zimbabwe Mheshimiwa Emmerson
Mnangagwa inayoonyesha baadhi ya Wanyama waliopo katika Hifadhi mbalimbali za
Wanyama Tanzania pamoja kabla ya kuanza mazungumzo katika Ikulu ya Harare
Zimbabwe
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akigonga
glasi na Mwenyeji wake Rais wa Zimbabwe Mheshimiwa Emmerson Mnangagwa wakati wa
Dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa na Rais wa Zimbwabwe Ikulu ya Harare nchini Zimbabwe
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akimshukuru Mwenyeji wake Rais wa Zimbabwe Mheshimiwa Emmerson Mnangagwa kwa
Dhifa ya kitaifa aliyoandaliwa Ikulu ya Harare
nchini Zimbabwe.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza wakati wa Dhifa ya kitaifa
iliyoandaliwa na Mwenyeji wake Rais wa Zimbabwe Mheshimiwa Emmerson Mnangagwa
Ikulu ya Harare nchini Zimbabwe. Mei 28,
2019.
No comments:
Post a Comment