Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akionesha Mpango Mkakati Maalum wa kupambana na Hasara zitokanazo na mambo ya kilimo baada ya kuuzindua kwenye Uzinduzi wa Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima Nane nane Kitaifa katika Viwanja vya Nyakabindi Mkoani Simiyu leo Ogast 01,2019. kulia ni Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga, na kushoto Mkuu wa Mkoa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizindua Mkakati Maalum wa kupambana na Hasara zitokanazo na mambo ya kilimo kwenye Uzinduzi wa Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima Nane nane Kitaifa katika Viwanja vya Nyakabindi Mkoani Simiyu leo Ogast 01,2019. kulia ni Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga, na kushoto Mkuu wa Mkoa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizindua Mkakati Maalum wa kupambana na Hasara zitokanazo na mambo ya kilimo kwenye Uzinduzi wa Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima Nane nane Kitaifa katika Viwanja vya Nyakabindi Mkoani Simiyu leo Ogast 01,2019. kulia ni Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga, na kushoto Mkuu wa Mkoa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mkuu wa Mkoa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka kwenye Uzinduzi wa Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima Nane nane Kitaifa katika Viwanja vya Nyakabindi Mkoani Simiyu
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga kwenye Uzinduzi wa Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima Nane nane Kitaifa katika Viwanja vya Nyakabindi Mkoani Simiyu
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Katibu Mkuu Wizara ya Uvuvi Profesa Ole Gabriel kwenye Uzinduzi wa Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima Nane nane Kitaifa katika Viwanja vya Nyakabindi Mkoani Simiyu.
No comments:
Post a Comment