Beki wa Timu ya KMKM Khafidh Mohammed akijaribu kumzuiya mshambuliaji wa Timu ya D'Agosto ya Angola Jose Macsir Ganga wakati wa mchezo wa Awali wa Michuano ya Mabingwa Uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu ya D'Agosto imeshinda kwa bao 2-0.Mchezo Uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar leo jioni 10-8-2019.
Wahitimu wa Furahika wahimiza kufuata maadili katika kazi
-
NA MWANDISHI WETU
WAHITIMU 121 wa Chuo cha Ufundi Stadi, Furahika wametakiwa kuzingatia
maadili wanapokwenda kwenye mafunzo kwa vitendo ili kupata fursa ya...
42 minutes ago
0 Comments