Beki wa Timu ya KMKM Khafidh Mohammed akijaribu kumzuiya mshambuliaji wa Timu ya D'Agosto ya Angola Jose Macsir Ganga wakati wa mchezo wa Awali wa Michuano ya Mabingwa Uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu ya D'Agosto imeshinda kwa bao 2-0.Mchezo Uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar leo jioni 10-8-2019.
Makamu wa Pili wa Rais Z'bar Atoa Wito wa Kuulinda Muungano
-
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla ametoa wito kwa
wananchi wa Tanzania kuendelea kuulinda Muungano.
Hayo ameyasem...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment