Kada wa 22 wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar Mhe. Bakar Rashid Bakar Ajitokeza Kuchukua Fomu ya Kuwania Kuteuliwa na Chama Kugombea Urais wa Zanzibar, akionesha Mkoba wenye fomu za kugombea Urais wa Zanzibar baada ya kukabidhiwa na Katibu Idara ya Oganizesheni ya CCM Zanzibar Ndg. Galos Nyimbo,hafla hiyo imefanyika katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar.
Katibu Idara ya Oganizesheni ya CCM Zanzibar Ndg. Galos Nyimbo akimkabidhi mkoba wa Fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar Mhe. Bakar Rashid Bakar, wakati wa zoezi hilo la uchukuaji wa Fomu ya Urais kupitia CCM Zanzibar, uliofanyika leo Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar.
Katibu Idara ya Oganizesheni ya CCM Zanzibar Ndg. Galos Nyimbo akimkabidhi mkoba wa Fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar Mhe. Bakar Rashid Bakar, wakati wa zoezi hilo la uchukuaji wa Fomu ya Urais kupitia CCM Zanzibar, uliofanyika leo Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment