Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo ( Bara) Bw.Gerald Kusaya akisalimiana na mwenyeji wake Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo (Zanzibar) Bi.Maryam Abdulla mara baada ya kuwasili uwanja wa Ndege Pemba jana kwa ziara ya kikazi.
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo (Bara) Bw.Gerald Kusaya wa kwanza mbele akiwa na Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo (Zanzibar) Bi.Maryam Abdulla wakitoka kukagua bonde la umwagiliaji mpunga la Kwalempona wilaya ya Wete Pemba jana.
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akitembelea kukagua skimu ya umwagiliaji zao la mpunga ya Kwalempona wilaya ya Wete Pemba hapo jana.Kukamilika kwa skimu hiyo chini ya mradi wa ERPP umesaidia wakulima zaidi ya 120 wengi wao akina mama kuzalisha mpunga na kuwa na uhakika wa kipato.
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akikagua skimu ya umwagiliaji mpunga ya Ole Dodea Chake Chake inayotumia mabomba alipotembelea Pemba jana.Mradi huo unatekelezwa kupitia mradi wa ERPP na umegharimu shilingi Bilioni 1.7
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiongea na wakulima wa skimu ya umwagiliaji zao la mpunga Kwalempona wilaya ya Wete Pemba jana alipokagua kukamika kwa miundombinu yake. Wa kwanza kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Wete Mhe.Kombo Asa Juma aliyeshiriki ziara hiyo.
WAKULIMA
KUENDELEA KUNUFAIKA NA MUUNGANO WA TANZANIA NA ZANZIBAR- KUSAYA
Wakulimawa Pemba
wameanzakunufaika na miradi ya kilimoinayotekelezwa kwa pamoja na serikali ya
Muunganona ile ya Mapinduzi ya Zanzibar ya uendelezajizao la mpunga (ERPP) na
mradi wa KudhibitiSumukuvunchini (TANIPAC).
Mradi wa
KuimarishaUzalishajiMpunganchini (ERPP) umetumiashilingiBilionimbilikujenga na
kukarabatimiundombinu ya skimuzaumwagiliajiupande wa Pemba kwa kipindi cha
miakamitanoiliyopita.
Akizungumzawakatiakitembeleamiradi
ya umwagiliaji ya Ole DodeaChakeChake na KwalemponaWete Pemba jana (20.08.2020)
KatibuMkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusayaalisemamiradihiyoinathibitishauimara
wa Muunganouliopo .
“ Nimetembelea na
ninawapongezawenzetu wa Zanzibar kwakazikubwa ya utekelezaji wa miradihii ya
umwagiliajikwaniwakulimawameoneshamafanikio ya kuongezatija ya uzalishajizao la
mpunga na piathamani ya fedhainaonekana”
alisemaKusaya.
Kusayaaliwaelezawakulimawa
Pemba kuwamiradihiyo ya umwagiliajinizawaditoka kwa maraiswetuambapoamewasihikuitunza
na kuifanyaiweendelevu kwa manufaa ya vizazivijavyo.
Skimu ya Umwagiliaji ya Ole
DodeaChakechakeinaukubwa wa hekta 10 maalum kwa uzalishajimbegu bora zampunga
na tayariwakulima 62 wameanzakunufaikakulimahukuikigharimushilingiBilioni 1.7
kukamilikawakatiskimu ya Kwalemponawilaya ya Weteinaeneo la hekta 13 na
wakulima 120 wengiwaoakina mama wanalimampunga na imetumiashilingiMilioni 753 kukamilika.
KatibuMkuuKusayaakizungumza
na wakulimahaoalisemanilengo la serikalikuonawakulimawakilimaeneodogolakiniwavunezaidi
na kupatafaidakupitiakukamilika kwa skimuhizozaumwagiliaji .
“ Wakulimatunzenimiradihii
na fikirienikuanzakuchangiafedhakidogoilimradiuweendelevuikitokeamiundombinuimeharibikabasiiwerahisikutumiafedhazenukuikarabati
na kupunguzautegemezi wa serikali” Kusayaaliwasihiwakulima wa Wete.
KatikahatuanyingineKusayaalitoawitokwawakulimanchinikotekuwafundisha
na kuwazoeshawatotowaoiliwashirikikazi ya uzalishajimashambani na kuwa na
uhakika wa kipatokufuatiataarifa ya mradi wa Kwalemponakuoneshaidadikubwa ya
akinamamandiowanalimakwenyebondehilopekee.
Akizungumza kwa niaba ya
wakulima wa KwalemponaWeteMwenyekiti wa Jumuiya ya WakulimaShaibu Ali alisema
hapo mwanzowalipataugumu wa kulimampungakwenyebondehilokutokana na mitarokuwa
ya udongohivyomajimengiyalipotealakinisasaskimuimeboreshwa .
Mkulimahuyoaliongezakusemamradiwa
ERPP umesaidiawakulimakuwa na uhakika wa kulimampungamarambili kwa mwaka na
kuongezamavunotokawastani wa tani 2 kwa hektahaditani 5 na matumizi ya mbegu
bora zampunga.
NayeJumaShamaniJumamkulima
wa Wetealisema “ nilizoeakupandampungaaina ya Linga na kuvunaporo 36 ( robaza
kilo mia ) katikaplotiyangulakinisasahivitumetumiambegu bora na
mavunoyameongezekahadiwastani wa poro 50 ( sawa na nusutani) kwa robohekta”
alisema.
Kwa upande wake KatibuMkuu
Wizara ya Kilimo,Maliasili,Mifugo na Uvuvi Zanzibar Maryam Abdulla
serikalikupitiamradi wa ERPP inahamasishawakulimakutumiambegu bora
zampungailiwapatemavunomengitoauti na mbeguzaasiliaina ya linga.
KatibuMkuuhuyoalishukuruserikali
ya Muungano wa Tanzania kupitiawizara ya Kilimo kuwa na miradi ya ushirikiano
na Zanzibar kwaniinaendelezaudugu na
kuelezakuwawakulimawataendeleakufundishwakanuni bora zakilimoiliwaongezeuzalishajimpunga
na mazaomengineilikuwa na uhakika wa ajira na kipato.
“ RaisDkt.Ali Mohamed Sheinameagizawizara ya Kilimo
Zanzibar kutumawataalamkwenda Bara kwa ajili ya kujifunzanamna ya kufufuazao la
koroshoiliwakulima wa visiwanihumowawe na zaojingine la biashara na
kukuzauchumiwao” alisema Maryam
Mradi wa
KuimarishaUzalishajiMpunga (ERPP) ulianzakutekelezwamwaka 2015 kwa gharama ya
dolazakimarekanimilioni 22.9 na
utafikiamwishomwaka 2021 ambapo kwa upande wa baraunatekelezwa kwa kujengaskimu
5 ,maghala 5 yamekamilika na ujenzi wa
maabaramoja ya kilimo mkoani Morogoro na kwa upande wa Zanzibar jumla ya skimu
9 zimejengwa .
KatibuMkuuKusayaamekamilishaziarayake
ya sikumbili ya kutembeleamiradi ya KudhibitiSumukuvunaile ya
UimarishajiUzalishajiMpunga (ERPP) kwa upande wa Zanzibar na Pemba hapo jana.
Mwisho.
ImetolewanaKitengo
cha MawasilianoSerikalini,
Wizara
ya Kilimo
20.08.2020
No comments:
Post a Comment