Habari za Punde

MKANDARASI APEWA SIKU 60 KUKAMILISHA UJENZIWA TENKI LA MAJI LA BUIGIRI – CHAMWINO

Muonekano wa eneo kunakojengwa tenki la maji la Buigiri Wilayani Chamwino.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Nadhifa Kemikimba (wa pili kutoka kushoto) akitoa maelekezo kwa mkandarasi SUMA-JKT kukamilisha ujenzi wa tenki la maji la Buigiri – Chamwino alipokagua ujenzi wa tenki hilo jijini Dodoma leo. Wengine ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira  Mjini Dodoma (DUWASA), Mhandisi Aron Joseph (wa kwanza kushoto) na baadhi ya watendaji wa DUWASA.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Nadhifa Kemikimba akiangalia eneo la Hospitali ya Rufaa ya Uhuru litakalopitiwa na miundombinu ya maji kutoka tenki la maji lililoko eneo la Buigiri Wilayani Chamwino alipofanya ziara ya kikazi jijini Dodoma leo.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Nadhifa Kemikimba (katikati) akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira  Mjini Dodoma (DUWASA), Mhandisi Aron Joseph (wa kwanza kushoto) alipokuwa akitoa  ufafanuzi kuhusu kazi ya flushing ya kisima katika eneo la Nzuguni Jijini Dodoma leo.
Muonekano wa Hospitali ya Rufaa ya Uhuru iliyopo jijini Dodoma itakayotumia maji kutoka tenki la maji lililoko eneo la Buigiri Wilayani Chamwino.

Muonekano wa Hospitali ya Rufaa ya Uhuru iliyopo jijini Dodoma itakayotumia maji kutoka tenki la maji lililoko eneo la Buigiri Wilayani Chamwino.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Nadhifa Kemikimba akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) alipofanya ukaguzi wa ujenzi wa tenki la maji lililoko eneo la Buigiri Wilayani Chamwino  jijini Dodoma leo.


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.