Habari za Punde

Rais Dk Hussein Mwinyi aanza ziara ya kuwashukuru wanachama CCM na wananchi WIlaya ya Kaskazini B Unguja leo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbali mbali wa CCM Wilaya ya Kaskazini B Unguja alipofika Ofisi za   CCM Mahonda Mkoa wa Kaskazini akiwa katika ziara  ya kuwashukuru Wananchi na Wanachama wa Chama hicho.
 Baadhi ya Viongozi walipokuwa wakimkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Dk.Hussein Ali Mwinyi alipowasili katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi za   CCM Mahonda Mkoa wa Kaskazini Unguja kwa ajili ya kusalimiana na Viongozi mbali mbali wa CCM Wilaya ya Kaskazini "B" leo .
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa pili kushoto) na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Mhe.Iddi Ali Ame   (kushoto)   pamoja na Viongozi wengine wakiikmba wimbo wa Chama baada ya kuingia katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi za   CCM Mahonda Mkoa wa Kaskazini akiwa katika ziara  ya kuwashukuru Wananchi na Wanachama wa Chama hicho.
Viongozi wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kaskazini "B"Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) alipofika  kuzungumza na kuwashukuru Wananchi na Wanachama wa Chama hicho katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi za   CCM Mahonda Mkoa wa Kaskazini .
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Dk.Hussein Ali Mwinyi  alipokuwa akizungumza na Wananchi na Wanachama wa Chama hicho wa Wilaya ya Kaskazini "B" katika mkutano wa kuwashukuru uliofanyika leo katika  Ofisi za   CCM Mahonda (kushoto)  Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Mhe.Iddi Ali Ame.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Dk.Hussein Ali Mwinyi  (katikati) alipokuwa akizungumza na Wananchi na Wanachama wa Chama hicho wa Wilaya ya Kaskazini "B" katika mkutano wa kuwashukuru uliofanyika leo katika  Ofisi za   CCM Mahonda (kushoto)  Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Mhe.Iddi Ali Ame na (kulia) Maalim Kombo Hassan Juma Katibu Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa pia  Kaimu  Naibu  Katibu Mkuu CCM Zanzibar.[Picha na Ikulu] 29/05/2021.
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.