Waziri wa Nchi ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Zanzibar Mhe Jamal Kassim Ali akizungumza na kutowa maelekezo kwa watendaji wa Wizara yake wakiwa nje ya ukumbi wa mikutano ya Baraza la wawakilishi mara baada ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar kupitisha Bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2021/2022
TET NA TANZANIA AI COMMUNITY KUSHIRIKIANA KUBORESHA UFUNDISHAJI KWA
TEKNOLOJIA YA AI
-
TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imepanga kufanya mafunzo ya kukuza uwezo
kwa wakuza mitaala na walimu nchini kwa kutumia Akili Mnemba (AI) ili
kukuza ufani...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment