Waziri wa Nchi ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Zanzibar Mhe Jamal Kassim Ali akizungumza na kutowa maelekezo kwa watendaji wa Wizara yake wakiwa nje ya ukumbi wa mikutano ya Baraza la wawakilishi mara baada ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar kupitisha Bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2021/2022
SIX DECADES STRONG, CELEBRATING THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA'S PROUD
UNION ANNIVERSARY
-
*60 years of the United Republic of Tanzania, We are united and
Strengthened for the Development of Our Nation.*
1. Introduction.
The United Republic ...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment