Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Uongozi wa Timu ya Small Simba Sport Club alipowasili katika ukumbi wa mkutano Ikulu Jijini Zanzibar leo 8/6/2021.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Uongozi wa Timu ya Small
Simba Sport Club, walipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika
ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mtendaji Mkuu wa Klabu ya
Small Simba Sport Club Ndg. Suleiman Mahmoud Jabir, akizungumza na kuwasilisha
salamu zao klabu yao, wakati wa mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa
Ikulu Jijini Zanzibar na(kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa Klabu ya Small Simba
Sport Club mchezaji wa zamani wa timu hiyo Khamis Suleiman Mpemba
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa mpango kazi wa Mradi wa Kituo cha michezo cha kilabu ya
Small Simba Sport Club Zanzibar na Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo Ndg. Suleiman
Mahmoud Jabir, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa
Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa picha ya Kikosi cha Timu ya
Small Simba Sport Club na Mtendaji Mkuu wa Timu hiyo Ndg. Suleiman Mahmoud
Jabir baada ya kumaliza mazungomzo yake na Uongozi wa timu hiyo yaliofanyika
katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Jezi ya Kilabu ya Small Simba
Sport Club na Mtendaji Mkuu wa timu hiyo Ndg. Suleiman Mahmoud Jabir, baada ya
kumaliza mazungumzo yake na Uongozi wa timu hiyo ulipofika Ikulu kwa mazungumzo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuagana na Uongozi wa Timu ya Small
Simba Sport Club, walipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika
ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Uongozi wa
Timu ya Small Simba Sport Club, baada ya kumaliza mazungumzo na Uongozi wa timu
hiyo uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment