Habari za Punde

Waziri wa nchi ofisi ya Rais, Fedha na Mipango awasilisha bajeti ya Wizara yake Baraza la wawakilishi leo

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Fedha na Mipango mhe Jamal Kassim Ali akisoma hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2021/222

Baadhi ya Watendaji wa Wizara ya nchi ofisi ya Rais, Fedha na Mipango wakifuatilia mjadala wa hotuba ya makadirio na mapato ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2021/2022 katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani.
Baadhi ya Watendaji wa Wizara ya nchi ofisi ya Rais, Fedha na Mipango wakifuatilia mjadala wa hotuba ya makadirio na mapato ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2021/2022 katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.