Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi Wakuu wa Mataifa mbalimbali Duniani wakishiriki katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya na Umoja wa Afrika (EU-AU Summit) leo tarehe 17 Februari, 2022 Brussels nchini Ubelgiji.
DC MOYO AMUOKOA DIWANI WA CCM MIKONONI MWA WANANCHI ILOLO MPYA IRINGA
-
Aliyesimama mi Diwani wa kata ya Ilolo Mpya Fundi Mihayo akijibu hoja za
wananchi mbele ya mkuu wa wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo wakati wa
mku...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment