Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi Wakuu wa Mataifa mbalimbali Duniani wakishiriki katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya na Umoja wa Afrika (EU-AU Summit) leo tarehe 17 Februari, 2022 Brussels nchini Ubelgiji.
Tanzania Yasisitiza Uwajibikaji kwa Taasisi za Umoja wa Afrika
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi
Mahmoud Thabit Kombo akishiriki Kikao cha 46 cha Baraza ya Mawaziri la
Umoja wa ...
7 minutes ago
No comments:
Post a Comment