Matukio mbalimbali pichani yakimuonesha Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, wakati alipotembelea maonesho ya 46 ya Kimataifa ya biashara ambayo bado yanaendelea jijini Dar es salaam. IGP Sirro aliwataka wananchi kuendelea kutembelea maonesho hayo ambayo kwasasa yamekuwa na vitu vingi vizuri ikiwemo elimu inayotolewa na Jeshi la Polisi kuhusu namna ya kutambua uhalifu na kukabiliana matukio ya uhalifu na wahalifu.
Picha na Jeshi la Polisi
No comments:
Post a Comment