Habari za Punde

Rais Dk Hussein Mwinyi azindua Madarasa mapya Skuli ya Msingi Mkwajuni

Wanafunzi wa Skuili ya Mkwajuni wakioneshwa  bango linalosomeka "Kataa Risiti ya Mkono dai Risiti ya Kielektroniki"katika hafla ya uzinduzi wa  madarasa mapya saba ya Skuli ya Msingi Mkwajuni yaliyojengwa kilichojengwa na Kikosi cha Chuo cha Mafunzo  kupitia Serikali ya Mapinduzi Zanzibar chini ya Ufadhili wa mkopo wa UVIKO 19,kupitia Shirika la Fedha Dunia IMF alipofanya  ziara ya Wilaya ya Kaskazini “A”Unguja iliyoanza leo  kwa kutembelea miradi mbali mbali ya maendeleo (wa pili kulia) Mke wa Rais Mama Mariam Mwinyi.[Picha na Ikulu] 19/07/2022. 

Wanafunzi wakinyanyua mikono juu kumsalimia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi,(hayupo pichani) mara baada ya  Kuzindua  madarasa mapya saba ya Skuli ya Msingi Mkwajuni yaliyojengwa  na Kikosi cha Chuo cha Mafunzo  kupitia Serikali ya Mapinduzi Zanzibar chini ya Ufadhili wa mkopo wa UVIKO 19,kupitia Shirika la Fedha Dunia IMF alipofanya  ziara ya Wilaya ya Kaskazini “A”Unguja iliyoanza leo  kwa kutembelea miradi mbali mbali ya maendeleo .[Picha na Ikulu] 19/07/2022. 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi, alipokuwa akizungumza na Wanafunzi,Walimu na Wazee  mara baada ya  Kuzindua  madarasa mapya saba ya Skuli ya Msingi Mkwajuni yaliyojengwa  na Kikosi cha Chuo cha Mafunzo  kupitia Serikali ya Mapinduzi Zanzibar chini ya Ufadhili wa mkopo wa UVIKO 19,kupitia Shirika la Fedha Dunia IMF alipofanya  ziara ya Wilaya ya Kaskazini “A”Unguja iliyoanza leo  kwa kutembelea miradi mbali mbali ya maendeleo.
[Picha na Ikulu] 19/07/2022.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.