Muonekani wa Jengo Jipya la Skuli ya Msingi ya Kwabinti hamrani Jangombe inayojengwa kupitia Fedha za Covid -19, imewekwa Jiwe la Msingi la Ujenzi huo na Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akiwa katika ziara yake Wilaya ya Mjini Unguja kutembelea Miradi ya Maendeleo katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja 18-7-2022.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment