Muonekani wa Jengo Jipya la Skuli ya Msingi ya Kwabinti hamrani Jangombe inayojengwa kupitia Fedha za Covid -19, imewekwa Jiwe la Msingi la Ujenzi huo na Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akiwa katika ziara yake Wilaya ya Mjini Unguja kutembelea Miradi ya Maendeleo katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja 18-7-2022.
SHULE ZA MSINGI 3 KUJENGWA LUDEWA
-
Na. Damian Kunambi, Njombe.
Kutokana na baadhi ya wananchi wilayani Ludewa mkoani Njombe kuishi katika
maeneo ya pembezoni na kupelekea watoto kutembea ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment