Muonekani wa Jengo Jipya la Skuli ya Msingi ya Kwabinti hamrani Jangombe inayojengwa kupitia Fedha za Covid -19, imewekwa Jiwe la Msingi la Ujenzi huo na Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akiwa katika ziara yake Wilaya ya Mjini Unguja kutembelea Miradi ya Maendeleo katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja 18-7-2022.
PROF. NDALICHAKO APONGEZA PSSSF KWA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA
-
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu)
Profesa Joyce Ndalichako, akizungumza na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi
...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment