Muonekani wa Jengo Jipya la Skuli ya Msingi ya Kwabinti hamrani Jangombe inayojengwa kupitia Fedha za Covid -19, imewekwa Jiwe la Msingi la Ujenzi huo na Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akiwa katika ziara yake Wilaya ya Mjini Unguja kutembelea Miradi ya Maendeleo katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja 18-7-2022.
TASAC YAENDELEZA ELIMU KWA WAVUVI
-
Na Mwandishi Wetu, Geita
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limeanzisha kampeni ya kutoa
elimu ya usafiri salama wa majini katika Wilaya ya Chato ...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment