Muonekani wa Jengo Jipya la Skuli ya Msingi ya Kwabinti hamrani Jangombe inayojengwa kupitia Fedha za Covid -19, imewekwa Jiwe la Msingi la Ujenzi huo na Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akiwa katika ziara yake Wilaya ya Mjini Unguja kutembelea Miradi ya Maendeleo katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja 18-7-2022.
Bank of Africa Tanzania yadhamiria kuwezesha Wanawake nchini
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Bank of Africa Tanzania, Esther Maruma (kushoto)
akizungumza katika mkutano wa kuchochea kasi ya maendeleo ya Wanawake
(Accelerate ...
53 minutes ago
No comments:
Post a Comment