Habari za Punde

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan Azungumza na Wananchi wa Manyara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi pamoja na Wananchi wa Babati kwenye Mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Kwaraa Mkoani Manyara tarehe 23 Novemba, 2022.


Wananchi pamoja na Viongozi wa Mkoa wa Manyara wakiwa kwenye uwanja wa Kwaraa Babati kumsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan tarehe 23 Novemba, 2022.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.