Meneja wa Shirika la Bima la Taifa Kanda ya Zanzibar Ndg.Khamis Msami akimkabidhi Fedha Taslimu shilingi Laki Tano Mchezaji Bora wa Mchezo wa ufunguzi wa Michuano ya 17 Kombe la Mapinduzi Mukrim Juma Madai kwa kuibuka mchezaji Bora wa Mchezo huo wa Ufunguzi kati ya Timu ya Mlandege na KVZ uliofanyika leo nJioni katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.Timu hizo zimetoka sare ya Bao 1--1.
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
5 hours ago
Well done madai
ReplyDelete