Meneja wa Shirika la Bima la Taifa Kanda ya Zanzibar Ndg.Khamis Msami akimkabidhi Fedha Taslimu shilingi Laki Tano Mchezaji Bora wa Mchezo wa ufunguzi wa Michuano ya 17 Kombe la Mapinduzi Mukrim Juma Madai kwa kuibuka mchezaji Bora wa Mchezo huo wa Ufunguzi kati ya Timu ya Mlandege na KVZ uliofanyika leo nJioni katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.Timu hizo zimetoka sare ya Bao 1--1.
WADAI 100 KUONGEZWA KWENYE HATI YA MASHTAKA YA DKT. MANGURUWE
-
UPANDE wa Mashtaka katika kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili Mkurugenzi
Mtendaji wa Kampuni ya Vanilla International, Simon Mkondya maarufu Dkt.
Mangur...
59 minutes ago

Well done madai
ReplyDelete