Wachezaji wa Timu ya Mlandege wakiwa na Kombe la Ubingwa Mapinduzi Cup 2023 baada kukabidhiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kwa kuifunga Timu ya Singida Big Stars kwa bao 2-1, katika mchezo wa Fainali uliofanyika Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.
MUDY PESA AMKAMIA MANCHUGA PAMBANO LA KILL BOXING TOUR
-
Na. Khadija Seif, Michuzi TV
Bondia wa Ngumi za Kulipwa nchini, Mudy Pesa maarufu ‘Misumari ya Zege’
amechimba mkwara kuelekea pambano lake la ndondi dhi...
50 minutes ago
No comments:
Post a Comment