Wachezaji wa Timu ya Mlandege wakiwa na Kombe la Ubingwa Mapinduzi Cup 2023 baada kukabidhiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kwa kuifunga Timu ya Singida Big Stars kwa bao 2-1, katika mchezo wa Fainali uliofanyika Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.
WATUMISHI WIZARA YA FEDHA WAJIVUNIA UTALII WA NDANI
-
Na. Saidina Msangi na Scola Malinga, WF, Dar es Salaam.
Watumishi wa Wizara ya Fedha wakiongozwa na Mkurugenzi wa Idara ya Utawala
na Rasilimali Watu Bw....
4 minutes ago
No comments:
Post a Comment