Wachezaji wa Timu ya Mlandege wakiwa na Kombe la Ubingwa Mapinduzi Cup 2023 baada kukabidhiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kwa kuifunga Timu ya Singida Big Stars kwa bao 2-1, katika mchezo wa Fainali uliofanyika Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.
TANFOAM MARATHON ARUSHA YAZINDULIWA RASMI KWA MSIMU WA PILI
-
Na Pamela Mollel, Arusha
Mashindano ya Tanfoam Marathon yamezinduliwa rasmi kwa msimu wa pili,
yakitarajiwa kufanyika tarehe 7 Desemba 2025 jijini Arus...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment