Habari za Punde

Timu ya Mlandege Mabingwa na Kombe la Mapinduzi Cup 2023 Wakishangilia Ubingwa Wao Uwanja wa Amaan Zanzibar

Wachezaji wa Timu ya Mlandege wakiwa na Kombe la Ubingwa Mapinduzi Cup 2023 baada kukabidhiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kwa kuifunga Timu ya Singida Big Stars kwa bao 2-1, katika mchezo wa Fainali uliofanyika Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar. 








 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.